Simba SC imepokea bonasi ya Shilingi milioni 78,765,000 kutoka kwa mdhamini wao mkuu, Betway Tanzania, ikiwa ni tuzo maalum kwa mafanikio ya klabu hiyo ya kutwaa Kombe la CRDB Federation Cup msimu wa 2025/26. Bonasi hiyo inaongezwa juu ya zawadi ya ushindi ya Tsh milioni 125 waliyoipokea kutoka kwa wadhamini wa kombe hilo, CRDB Bank.
Ushindi huo ulipatikana baada ya Simba kuwafunga Azam..... download Xtra 90 App



