Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limeanzisha historia mpya baada ya kutangaza kuwa kwa mara ya kwanza kabisa, wachezaji wa timu itakayotwaa Kombe la Dunia 2026 watazawadiwa pete maalum za ubingwa (Championship Rings), wakifuata utamaduni uliozoeleka katika ligi kubwa za Marekani kama NBA, NFL na MLB.
Kwa mujibu wa mpango huo, pete 30 zitatengenezwa mahsusi kwa ajili ya wachezaji na..... download Xtra 90 App



