Baada ya ndoto zao za kutinga fainali kuvunjwa katika hatua ya nusu fainali, England na Ufaransa leo zitashuka dimbani katika mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu wa Kombe la Dunia 2026.
Ni mchezo ambao unaweza kuonekana kama wa kuwania medali ya shaba pekee, lakini kwa timu mbili zenye historia kubwa kama England na Ufaransa, ushindi utakuwa na maana kubwa katika kufunga safari ya michuano..... download Xtra 90 App



