Chelsea imekamilisha dili la kumsajili Morgan Rogers kutoka Aston Villa baada ya kufikia makubaliano rasmi kati ya klabu hizo mbili, huku ikiwahi mpango wa Arsenal, ambao ulikuwa ukijiandaa kuwasilisha ofa rasmi kwa nyota huyo.
Kwa mujibu wa taarifa, Chelsea imekubaliwa ofa yenye thamani ya pauni milioni 117 (Β£117m), na hivyo kushinda mbio za kumsajili mmoja wa wachezaji wenye vipaji..... download Xtra 90 App



