Klabu ya TRA United imethibitisha kuachana na wachezaji nane baada ya mikataba yao kumalizika.
Miongoni mwa wachezaji hao ni mshambuliaji mkongwe Reliant Lusajo ambaye alikuwa na nafasi finyu kwenye kikosi cha watoza ushuru hao msimu uliopita.
Wachezaji wengine walioachwa ni Hamad Hilika, Adam Omar Adam, Nassoro Kapama, Prince Leonard Chindongo, Iddy Kichindo, Salum Chuku, pamoja na..... download Xtra 90 App



