Simba SC wameendelea kuimarisha kikosi chao kuelekea msimu wa 2026/27 baada ya kumtambulisha rasmi beki wa pembeni wa kimataifa wa Tanzania, Nathaniel Chilambo, aliyekamilisha usajili wake akitokea Azam FC.
Chilambo anawasili Msimbazi akiwa na rekodi nzuri ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara, ambako amejijengea jina kama mmoja wa mafullback bora nchini kutokana na kasi yake, uwezo wa kusaidia..... download Xtra 90 App



