Rasmi: Simba wamtangaza Nathaniel Chilambo kutoka Azam fc

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media β€’ 20th July 2026


Rasmi: Simba wamtangaza Nathaniel Chilambo kutoka Azam fc

Simba SC wameendelea kuimarisha kikosi chao kuelekea msimu wa 2026/27 baada ya kumtambulisha rasmi beki wa pembeni wa kimataifa wa Tanzania, Nathaniel Chilambo, aliyekamilisha usajili wake akitokea Azam FC.

Chilambo anawasili Msimbazi akiwa na rekodi nzuri ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara, ambako amejijengea jina kama mmoja wa mafullback bora nchini kutokana na kasi yake, uwezo wa kusaidia..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Azam FC yamsajili mshambuliaji John Mano kutoka Al-Akhdar ya Libya
Azam FC yamsajili mshambuliaji John Mano kutoka Al-Akhdar ya Libya
Today, READ MORE β†’
Simba wamtambulisha rasmi winga Bakari Msimu kutoka Coastal Union
Simba wamtambulisha rasmi winga Bakari Msimu kutoka Coastal Union
Today, READ MORE β†’
Rasmi: Yanga wamtambulisha kocha msaidizi Simo Dladla
Rasmi: Yanga wamtambulisha kocha msaidizi Simo Dladla
Today, READ MORE β†’
TFF yakumbusha Vilabu: Zimesalia Siku 25, Hakutakuwa na Muda wa Ziada
TFF yakumbusha Vilabu: Zimesalia Siku 25, Hakutakuwa na Muda wa Ziada
Today, READ MORE β†’
Yanga yamtangaza Abdulnassir β€˜Gamal’ kujiunga kikosini.
Yanga yamtangaza Abdulnassir β€˜Gamal’ kujiunga kikosini.
Today, READ MORE β†’
Yanga yaibomoa Mashujaa Fc, yachukua mshambuliaji
Yanga yaibomoa Mashujaa Fc, yachukua mshambuliaji
Today, READ MORE β†’
Mpango wa Chobwedo kutua Simba wakwama, sababu yatajwa
Mpango wa Chobwedo kutua Simba wakwama, sababu yatajwa
Today, READ MORE β†’
TPLB yafafanua sababu ya kutoa ratiba ya Ligi Kuu ya NBC mapema
TPLB yafafanua sababu ya kutoa ratiba ya Ligi Kuu ya NBC mapema
Yesterday, READ MORE β†’
Rasmi: Simba wamtangaza Nathaniel Chilambo kutoka Azam fc
Rasmi: Simba wamtangaza Nathaniel Chilambo kutoka Azam fc
Yesterday, READ MORE β†’
Yanga yakaribia kumnasa Chukwu kutoka Singida BS
Yanga yakaribia kumnasa Chukwu kutoka Singida BS
Yesterday, READ MORE β†’