Klabu ya Yanga SC imeendelea kufanya maboresho makubwa kwenye kikosi chake kwa lengo la kuendelea kutawala soka la Tanzania baada ya misimu mitano mfululizo ya mafanikio.
Miongoni mwa maeneo ambayo mabingwa hao wameonekana kulipa kipaumbele ni nafasi ya kiungo mkabaji, ambapo taarifa zinaeleza kuwa mchakato wa kumnasa nyota wa Nigeria, Morrice Chukwu, umefikia hatua za..... download Xtra 90 App



