Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, wameendelea kuimarisha kikosi chao kuelekea msimu mpya baada ya kukamilisha usajili wa mshambuliaji chipukizi Hussein Juma Mihambo kutoka Mashujaa FC.
Mihambo, ambaye ana umri wa miaka 19, amesaini mkataba wa miaka minne utakaomuweka Jangwani kwa kipindi kirefu huku akitarajiwa kuwa sehemu ya mradi wa klabu wa kujenga kikosi imara cha..... download Xtra 90 App



