Kikosi cha Simba SC kinatarajiwa kuondoka leo kuelekea Kigali, Rwanda, kwa ajili ya kushiriki michuano ya CECAFA Kagame Cup, ambayo itatumika kama sehemu muhimu ya maandalizi kuelekea msimu wa 2026/27.
Wekundu wa Msimbazi wanaelekea kwenye mashindano hayo wakiwa na matarajio makubwa ya kujenga kikosi imara, huku benchi la ufundi likipanga kutumia michuano hiyo kuwapima wachezaji wapya..... download Xtra 90 App



