Rais wa Young Africans SC, Eng. Hersi Said, amelikaribisha rasmi benchi jipya la ufundi la klabu hiyo, linaloongozwa na Kocha Mkuu Manqoba Mngqithi, katika kikao cha kwanza cha maandalizi kuelekea msimu wa 2026/27.
Kikao hicho kiliwakutanisha viongozi wa juu wa klabu pamoja na wajumbe wote wa benchi la ufundi, ikiwa ni mwanzo wa safari mpya ya mabingwa hao wa Tanzania katika kujipanga kwa..... download Xtra 90 App



