Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally, ametangaza rasmi kuwa tamasha la Simba Day 2026 litafanyika Jumamosi, Agosti 8, 2026 katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, likiwa ni tukio maalum la utambulisho wa kikosi kitakachoitumikia klabu hiyo katika msimu mpya wa mashindano.
Semaji amebainisha kuwa uamuzi wa kuhamishia tamasha hilo kwenye uwanja wa Uhuru umefanyika ili..... download Xtra 90 App



