Mabingwa wa soka Tanzania Bara, Yanga SC, wamefikia makubaliano na klabu ya Chippa United ya Afrika Kusini kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wa kimataifa wa Eswatini, Justice Figuareido.
Kwa mujibu wa taarifa, Yanga imenunua sehemu ya mwisho ya mkataba wa Figuareido ambao ulikuwa umebaki kwa msimu mmoja zaidi kuitumikia Chippa United. Hatua hiyo imefungua mlango kwa mshambuliaji huyo..... download Xtra 90 App



