Kiungo Neo Maema amesalia nchini Afrika Kusini wakati kikosi cha Simba SC kikiwa tayari kimewasili jijini Kigali, Rwanda, kwa ajili ya kushiriki michuano ya CECAFA Kagame Cup. Kutokuwapo kwa jina lake kwenye msafara wa Wekundu wa Msimbazi kumeongeza maswali kuhusu mustakabali wake ndani ya klabu hiyo.
Taarifa kutoka ndani ya Simba zinaeleza kuwa mazungumzo ya kumsainisha mkataba wa kudumu..... download Xtra 90 App



