Klabu ya Mashujaa FC imemtangaza rasmi Amani Richard Josiah kuwa kocha mkuu mpya wa timu hiyo kuelekea msimu wa 2026/27, akichukua nafasi iliyoachwa na Jamhuri Kiwhelo maarufu kama "Julio".
Uteuzi wa Amani Josiah unakuja baada ya kuondoka kwake katika klabu ya Dodoma Jiji FC, ambapo alifanya kazi katika msimu uliopita wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Kabla ya kuthibitishwa rasmi, taarifa..... download Xtra 90 App



