Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya NBC, klabu ya Yanga SC, wameteka soko la usajili nchini kuelekea msimu wa mashindano wa 2026/27.
Yanga inatajwa kukamilisha rasmi usajili wa kiungo mshambuliaji Stephane Aziz Ki, huku wakiendelea kupigana vikumbo kuwania saini za mafowadi Jean Claude Girumugisha na Peter Shalulile.
Harakati hizi za mabosi wa Jangwani zinaashiria nia dhabiti ya kutaka..... download Xtra 90 App



