Klabu ya Azam FC imeendelea kuimarisha kikosi chake baada ya kufanikiwa kumuongeza mkataba kiungo mshambuliaji wake, Idd Suleiman βNadoβ, ambaye ataendelea kuvaa jezi ya Wana Lambalamba kwa kipindi kingine.
Nado, ambaye ni miongoni mwa wachezaji muhimu katika mipango ya Azam FC, amekubali kuongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kuitumikia klabu hiyo yenye maskani yake..... download Xtra 90 App



