Klabu ya Simba SC imeendelea kuimarisha kikosi chake kwa ajili ya msimu mpya baada ya kumtambulisha rasmi kiungo mahiri raia wa Nigeria, Ibraheem Jabaar, ambaye ametua Msimbazi kama mchezaji huru akitokea Stellenbosch FC ya Afrika Kusini.
Jabaar mwenye umri wa miaka 23 amejiunga na Simba baada ya kumalizika kwa mkataba wake na Stellenbosch, ambapo aliamua kutouhuisha licha ya juhudi za..... download Xtra 90 App



