Mabingwa watetezi wa CECAFA Kagame Cup, Singida Black Stars, wameanza vibaya mashindano ya mwaka huu baada ya kufungwa mabao 2-0 na Jamus SC ya Sudan Kusini katika mchezo wao wa kwanza wa hatua ya makundi. Magoli ya ushindi wa Jamus yalifungwa na Laurent dakika ya 11 na Mario Taban katika nyongeza ya dakika za mwisho, dakika ya 90+5.
Ingawa matokeo haya ni mwanzo mgumu kwa Singida BS,..... download Xtra 90 App



