Manchester United wapendekeza Rashford abadilishwe na Manu Koné
Manchester United wamewasilisha pendekezo la kubadilishana wachezaji kwa kuhusisha Marcus Rashford na kiungo wa AS Roma, Manu Koné. Hata hivyo, mshahara wa Rashford wa €11 milioni kwa msimu umeendelea kuwa kikwazo kikubwa katika mazungumzo hayo.





