Young Africans SC wameachana rasmi na kiungo wa kati Lassine Kouma (22), hivyo kumaliza ushirikiano wao kuelekea maandalizi ya msimu wa 2026/27.
Nyota huyo mwenye uraia wa Mali/Chad sasa ni mchezaji huru na tayari ameanza kutafuta klabu mpya kwa ajili ya kuendelea na maisha yake ya soka baada ya kuondoka Jangwani.
Kuondoka kwa Kouma ni sehemu ya mabadiliko yanayoendelea ndani ya..... download Xtra 90 App



