Local,Normal News,Yanga Sc

It’s over; Yanga yaachana na kiungo Lassine Kouma

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media
26 Jul 2026
It’s over; Yanga yaachana na kiungo Lassine Kouma

Young Africans SC wameachana rasmi na kiungo wa kati Lassine Kouma (22), hivyo kumaliza ushirikiano wao kuelekea maandalizi ya msimu wa 2026/27.

Nyota huyo mwenye uraia wa Mali/Chad sasa ni mchezaji huru na tayari ameanza kutafuta klabu mpya kwa ajili ya kuendelea na maisha yake ya soka baada ya kuondoka Jangwani.

Kuondoka kwa Kouma ni sehemu ya mabadiliko yanayoendelea ndani ya kikosi cha Yanga, huku uongozi wa klabu ukiendelea kufanya maboresho ya kikosi kwa kuwasajili wachezaji wapya na kuachana na baadhi ya waliokuwepo.

Katika dirisha hili la usajili, Yanga imekuwa miongoni mwa klabu zenye shughuli nyingi, ikiongeza nyota wapya katika kikosi huku ikijiandaa kutetea mataji ya ndani na kufanya vizuri zaidi kwenye michuano ya CAF.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
1h ago
READ MORE →
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
4h ago
READ MORE →
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
6h ago
READ MORE →
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
8h ago
READ MORE →
Rasmi: João Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: João Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
10h ago
READ MORE →
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
11h ago
READ MORE →
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
11h ago
READ MORE →
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
13h ago
READ MORE →
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
16h ago
READ MORE →
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE →