Azam FC wameachana rasmi na mshambuliaji Jephté Kitambala, baada ya pande zote mbili kumaliza ushirikiano wao kuelekea msimu wa 2026/27.
Straika huyo aliyewahi kuzichezea TP Mazembe na AS Maniema Union za DR Congo anaondoka Chamazi baada ya kuitumikia Azam FC, na sasa ni mchezaji huru anayesubiri changamoto mpya katika maisha yake ya soka.
Kuondoka kwa Kitambala ni sehemu ya..... download Xtra 90 App



