Kauli tatanishi zilizotolewa na aliyekuwa kocha wa Mashujaa Fc na timu ya taifa na mdau mkubwa wa soka nchini, Jamhuri Kihwelo 'Julio', zimezua mjadala mzito na kuwagawa wadau wa soka nchini.
Mjadala huo umeshika kasi kufuatia kusambaa kwa vipande vya video katika mitandao ya kijamii, ambapo Julio anaonekana akizungumzia kwa hisia kali mwenendo wa Simba, uhasama wa viongozi, na kile..... download Xtra 90 App



