Klabu ya Simba SC imefanya mabadiliko katika kikosi chake kuelekea msimu wa 2026/27 baada ya kuachana na kiungo mshambuliaji raia wa Kenya, Mohamed Bajaber, huku winga Salehe Karabaka akipelekwa kwa mkopo katika klabu ya Pamba Jiji FC.
Bajaber, mwenye umri wa miaka 23, hataendelea kuitumikia Simba baada ya klabu hiyo na mchezaji huyo kufikia makubaliano ya kusitisha mkataba wake kwa..... download Xtra 90 App



