Shirikisho la Soka la Hispania (RFEF) limeifahamisha rasmi Barcelona kuwa limefungua kesi ya kinidhamu kufuatia malalamiko yaliyowasilishwa na Atlético Madrid kuhusu mshambuliaji Julián Álvarez.
Atlético wanadai kuwa Barcelona ilifanya mawasiliano yasiyoidhinishwa na Álvarez wakati bado akiwa chini ya mkataba, jambo ambalo wanasisitiza linakiuka kanuni..... download Xtra 90 App



