Klabu ya Simba leo imezindua jezi zake za nyumbani, ugenini na toleo la tatu kwa ajili ya msimu wa mashindano 2026/27. Tukio hilo la uzinduzi limefanyika Ngorongoro mkoani Arusha.
Jezi hizo tayari zinapatikana madukani..

Klabu ya Simba leo imezindua jezi zake za nyumbani, ugenini na toleo la tatu kwa ajili ya msimu wa mashindano 2026/27. Tukio hilo la uzinduzi limefanyika Ngorongoro mkoani Arusha.
Jezi hizo tayari zinapatikana madukani..
