Rais wa Yanga Injinia Hersi Said leo amethibitisha usajili wa kiungo mkabaji Fred Ngoma aliyesajiliwa kutoka klabu ya Olympic Club de Safi ya Morocco.
Ngoma anatua Yanga kuimarisha safu ya kiungo cha ukabaji, eneo ambalo limekuwana changamoto tangu aondoke Khalid Aucho
Ngoma ni kiungo mwenye umri wa miaka 28 raia wa Congo-Brazzaville, msimu uliopita alikuwa silaha muhimu ya..... download Xtra 90 App



