Winga nyota wa Real Madrid, Vinícius Júnior, ameonekana kurejea rasmi kwenye mazoezi ya kikosi cha kwanza cha mabingwa hao wa kihistoria barani Ulaya, hatua inayozidi kupunguza matumaini ya Arsenal ambayo imekuwa ikihusishwa kwa nguvu na kumsajili katika dirisha hili la usajili.
Vinícius alirejea kwenye kituo cha mazoezi cha Real Madrid baada ya kumaliza mapumziko..... download Xtra 90 App



