Meneja habari na mawasiliano wa Yanga Ally Shaban Kamwe amethibitisha kuwa siku ya kesho timu hiyo itaweka hadharani timu ambayo itakutana nayo katika kilele cha siku ya wananchi .
Ally Kamwe amesema hayo hii leo wakati wa maswali na majibu katika mkutano na wanahabari makao makuu ya timu hiyo jangwani jijini Dar es salaam .
Kilele cha siku ya wananchi kinatarajiwa kufanya agosti..... download Xtra 90 App



