Barcelona imeingia kwenye hatua muhimu katika harakati zake za kumsajili mshambuliaji wa Atlético Madrid, Julián Álvarez, huku mkurugenzi wa michezo Deco akiongoza mazungumzo yanayoonekana kuwa ya mwisho kabla ya dirisha la usajili kufungwa.
Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali kutoka Hispania, Deco amesafiri hadi Madrid kwa ajili ya kukutana na wakala wa Álvarez,..... download Xtra 90 App



