Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limetoa taarifa ya kuomba radhi binafsi kwa mashirikisho yote 211 wanachama wake baada ya kukiri kuwa kulikuwa na makosa katika mradi wake wa hivi karibuni ambao hatimaye umeshindwa na kuondolewa rasmi.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, pendekezo la mradi huo limefutwa kabisa, huku FIFA ikikubali kuwajibika kwa kasoro zilizojitokeza katika mchakato huo na..... download Xtra 90 App



