Azam FC kuanzia hatua ya pili, kusubiri mshindi kati ya ZED FC na ASAS Djibouti Telecom

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said • 6th August 2026


Azam FC kuanzia hatua ya pili, kusubiri mshindi kati ya ZED FC na ASAS Djibouti Telecom

Azam FC imepangwa kukutana na mshindi wa mchezo kati ya ZED FC ya Misri na ASAS Djibouti Telecom ya Djibouti katika hatua ya pili ya awali ya mashindano ya CAF Confederation Cup msimu wa 2026/27. Ratiba hiyo imepatikana baada ya kura ya bahati nasibu iliyofanyika jijini Cairo, Misri, ambapo Azam walipata nafasi ya kuanzia moja kwa moja hatua ya pili kutokana na nafasi yao nzuri katika viwango..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Yanga wakutana na Gaborone United, Simba wakabidhiwa Mighty Wanderers CAF Champions League
Yanga wakutana na Gaborone United, Simba wakabidhiwa Mighty Wanderers CAF Champions League
Today, READ MORE →
Singida Black Stars wapangwa kuanza dhidi ya Al Ghazala SC CAF Confederation Cup
Singida Black Stars wapangwa kuanza dhidi ya Al Ghazala SC CAF Confederation Cup
Today, READ MORE →
Azam FC kuanzia hatua ya pili, kusubiri mshindi kati ya ZED FC na ASAS Djibouti Telecom
Azam FC kuanzia hatua ya pili, kusubiri mshindi kati ya ZED FC na ASAS Djibouti Telecom
Today, READ MORE →
Victor Muñoz aripoti mazoezini Liverpool baada ya kutwaa Kombe la Dunia
Victor Muñoz aripoti mazoezini Liverpool baada ya kutwaa Kombe la Dunia
Today, READ MORE →
Yanga yazindua jezi za msimu 2026/27
Yanga yazindua jezi za msimu 2026/27
Today, READ MORE →
Yanga Day kupambwa na mchezo wa kimataifa dhidi ya Aigles du Congo
Yanga Day kupambwa na mchezo wa kimataifa dhidi ya Aigles du Congo
Today, READ MORE →
Rwegasira: Mashabiki wa Simba ndio silaha ya kupambana na jezi feki
Rwegasira: Mashabiki wa Simba ndio silaha ya kupambana na jezi feki
Today, READ MORE →
Jayrutty Investment yashukuru mashabiki wa Simba kwa mapokezi ya jezi mpya
Jayrutty Investment yashukuru mashabiki wa Simba kwa mapokezi ya jezi mpya
Today, READ MORE →
Fifa waomba radhi baada ya mradi kushindwa, nyaraka zavuja kuhusu “FIFA SUPER LEAGUE”.
Fifa waomba radhi baada ya mradi kushindwa, nyaraka zavuja kuhusu “FIFA SUPER LEAGUE”.
Today, READ MORE →
Yanga kuzindua Uzi mpya wa 2026-27 hii leo
Yanga kuzindua Uzi mpya wa 2026-27 hii leo
Today, READ MORE →