Klabu ya Rayon Sports ya Rwanda imeandika historia kwa kutwaa ubingwa wa CECAFA Kagame Cup 2026 baada ya kuichapa Gor Mahia ya Kenya mabao 2-1 baada ya muda wa nyongeza, katika fainali iliyochezwa kwenye Uwanja wa Amahoro mjini Kigali.
Mchezo huo ulikuwa wa ushindani mkubwa, huku timu zote zikionyesha kiwango cha juu kabla ya Rayon Sports kufanikiwa kupata bao la ushindi katika muda wa..... download Xtra 90 App



