Tamasha la Simba Day limekamilika katika Uwanja wa Uhuru kwa kishindo, lakini furaha ya Wanasimba imepunguzwa baada ya Simba SC kukubali kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Polisi FC ya Kenya.
Mchezo huo ulikuwa sehemu muhimu ya kilele cha Simba Day, huku mashabiki wa Simba wakijitokeza kwa wingi kushuhudia kikosi chao kikijiandaa kwa msimu mpya.
Kocha Mkuu wa Simba, Steve Barker,..... download Xtra 90 App



