Kiungo wa kimataifa wa Tanzania, Alphonse Mabula, anatajwa kuwa mbioni kutambulishwa rasmi kama mchezaji mpya wa mabingwa wa soka Tanzania Bara, Yanga SC katika Tamasha la Yanga Day linalofanyika uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam.
Mabula amekuwa akihusishwa kwa kiasi kikubwa na Yanga katika kipindi hiki cha usajili, huku taarifa zikieleza kuwa makubaliano ya kujiunga na klabu hiyo..... download Xtra 90 App



