Shinikizo limezidi kumkabili Rais wa FIFA, Gianni Infantino, baada ya viongozi wa mashirikisho makubwa ya soka duniani kuibuka hadharani kumpinga kuhusu mpango wa kibiashara wa Kombe la Dunia.
UEFA, Shirikisho la Soka la Asia (AFC) na CONCACAF zimekosoa vikali uongozi wa Infantino kufuatia mpango ulioshindikana wa kuuza sehemu ya asilimia 20 ya haki za kibiashara za Kombe la Dunia kwa..... download Xtra 90 App



