Mabingwa wa soka Tanzania Bara, Yanga SC, wameshtukiza katika soko la usajili asubuhi ya leo baada ya kukamilisha usajili wa mshambuliaji Selemani Mwalimu 'Gomez'.
Usajili huo ulioratibiwa kwa siri kubwa na Rais wa Klabu hiyo, Injinia Hersi Said huko Zanzibar, umekuja kama 'sapraizi' nzito kwa wapenzi wa soka nchini, ikizingatiwa mchezaji huyo alikuwa mbioni kujiunga na mahasimu wao,..... download Xtra 90 App



