Klabu ya Simba iko katika hatua za mwisho kukamilisha mchakato wa kumsajili mshambuliaji wa Mashujaa FC, Ismail Mgunda, ili kuziba pengo lililoachwa na Selemani Mwalimu ‘Gomez’ ambaye ametimkia kwa mahasimu wao, Yanga SC.
Mabadiliko hayo ya ghafla yamekuja baada ya dili la Mwalimu kushindikana dakika za mwisho kutokana na klabu yake ya Wydad AC kushindwa kufikia makubaliano ya..... download Xtra 90 App



