Yanga SC imetetea Ngao ya Jamii kwa msimu wa pili mfululizo baada ya kuichapa Simba SC bao 1-0 katika mchezo mkali uliopigwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.
Licha ya kuanza mchezo kwa kasi ya kawaida, Yanga ilianza kurejesha umiliki wa mpira baada ya dakika 25 na kupata bao pekee la ushindi dakika ya 31. Albert Kangwanda alikuwa shujaa wa Wananchi baada ya kufunga kwa kichwa..... download Xtra 90 App



