Mkurugenzi wa Jayrutty Investment Ltd, na msambazaji wa jezi za Simba CPA Joseph Rwagesira amewataka mashabiki wa timu hiyo kuwa watulivu kufuatia timu hiyo kupoteza mchezo wa Ngao ya jamii mbele ya watani zao Yanga Sc
Mkurugenzi huyo amesema hayo mara baada ya kutamatika kwa mchezo huo uliochezwa katika uwanja wa New Amaan Complex visiwani Zanzibar ambapo timu ya simba ilipoteza kwa bao..... download Xtra 90 App



