Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally, amewataka Wanasimba kutokata tamaa baada ya timu yao kupoteza kwa bao 1-0 dhidi ya Yanga SC katika fainali ya Ngao ya Jamii. Ally amesema matokeo hayo hayapaswi kuwa sababu ya mashabiki kuvunjika moyo, akieleza kuwa katika soka kuna nyakati timu inaweza kuwa bora lakini ikashindwa kutumia nafasi zake, huku mpinzani akitumia nafasi moja na..... download Xtra 90 App



