Shirikisho la Soka la Uholanzi (KNVB) limemteua rasmi Xavi Hernandez kuwa kocha mkuu mpya wa timu ya taifa ya Uholanzi, katika mkataba utakaomweka kwenye nafasi hiyo hadi Kombe la Dunia la 2030.
Uteuzi huo umetangazwa Agosti 12, 2026, huku Xavi akirejea kwenye benchi la ufundi baada ya kuondoka Barcelona mwaka 2024.
Xavi mwenye umri wa miaka 46 anachukua nafasi iliyoachwa na Ronald..... download Xtra 90 App



