Kiungo mshambuliaji wa Dodoma Jiji, Berno Ngassa, ameweka historia baada ya kuwa mchezaji wa kwanza kufunga bao katika msimu wa Ligi Kuu NBC 2026/27.
Ngassa aliingia kwenye vitabu vya rekodi baada ya kufunga bao la kwanza la msimu katika mchezo wa ufunguzi dhidi ya Pamba Jiji uliochezwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Kiungo huyo alihitaji dakika 17 pekee kufungua..... download Xtra 90 App



