Harakati za klabu ya Simba SC kutaka kuinasa saini ya kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’, zinaendelea kukumbana na vikwazo vinavyofanya dili hilo kuwa gumu kukamilika katika dirisha hili la usajili.
Wakati dirisha la usajili likitarajiwa kufungwa leo Jumamosi, Agosti 15 saa 5:59 usiku, Simba bado inapambana kuhakikisha inamnasa nyota huyo maarufu kama..... download Xtra 90 App



