Kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda, Allan Okello, amejiunga rasmi na klabu ya AS FAR Rabat ya Morocco, akitokea Young Africans SC ya Tanzania. Hatua hiyo inafungua ukurasa mpya katika safari ya soka ya Okello, ambaye amekuwa sehemu ya kikosi cha Yanga katika kipindi cha hivi karibuni.
Okello anatarajiwa kuondoka Tanzania mwishoni mwa wiki hii kuelekea Morocco, ambako atajiunga na..... download Xtra 90 App



