Ligi Kuu ya NBC raundi ya kwanza imehitimishwa jana kwa mchezo kati ya JKT Tanzania dhidi ya TRA United uliopigwa uwanja wa Isamuhyo, Mbweni jijini Dar es salaam ukimalizika kwa matokeo ya sare ya bao 1-1.
Mechi zote nane za raundi ya kwanza zimehitimishwa huku Singida BS ikikaa kileleni mwa msimamo wa ligi kwa tofauti ya mabao.
Walima alizeti hao waliichapa Fountain Gate mabao 3-0,..... download Xtra 90 App



