Kuumia kwa golikipa wa Simba SC, Mahamadou Tanja Kassali, katika mchezo dhidi ya Kagere Sugar jana, kumeibua mjadala kuhusu nani atakuwa chaguo la kwanza kulinda lango la Wekundu wa Msimbazi katika michezo ijayo.
Kassali alipata majeraha yanayoweza kumweka nje ya uwanja kwa kipindi fulani, hali inayoiweka Simba katika nafasi ya kumtegemea zaidi Hussein Abel, ambaye sasa anaweza kupewa..... download Xtra 90 App



