Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imeufunga kwa muda Uwanja wa New Amaan Complex kwa ajili ya maboresho ya eneo la kuchezea, ikiwa ni pamoja na kupandwa nyasi mpya, kuelekea Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027.
Hatua hiyo inalenga kuufanya uwanja huo kuwa katika hali inayokidhi viwango vinavyohitajika ili uweze kutumika kama wakati wa michuano hiyo, ambayo itafanyika..... download Xtra 90 App



