Michezo miwili ya NBC Premier League imekamilika huku Namungo FC na Fountain Gate FC zikifanikiwa kupata ushindi katika michezo yao. Namungo FC imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Geita Gold, katika mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa huku bao hilo pekee likitosha kuipa Namungo pointi zote tatu.
Bao la ushindi kwa Namungo limefungwa na Hashim Manyanya dakika ya 25, akitumia vyema..... download Xtra 90 App



