Mshambuliaji wa kimataifa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DR Congo), Fiston Mayele, ameanza rasmi ukurasa mpya wa maisha yake ya soka baada ya kutambulishwa kama mchezaji mpya wa Al Ahli Tripoli ya Libya.
Klabu hiyo imethibitisha usajili wa Mayele baada ya mshambuliaji huyo kuondoka Pyramids FC ya Misri, ambako alitumia misimu kadhaa yenye mafanikio. Taarifa za usajili zinaeleza kuwa..... download Xtra 90 App



