Baada ya wiki nzima ya kusubiri na kuhesabu siku moja baada ya nyingine, hatimaye muda umefika. Premier League imerejea rasmi na pamoja nayo zimerudi burudani, mabao, ushindani, presha, banter na hisia zote zinazofanya ligi hiyo kuwa moja ya mashindano yanayofuatiliwa zaidi duniani. Kwa mashabiki wa soka, sasa hakuna tena cha kuhesabu; ni muda wa kurudi kwenye viti na kushuhudia msimu mwingine..... download Xtra 90 App



